ACID REFLUX ( KIUNGULIA )NI NINI DALILI MADHARA NA TIBA YAKE,...
Login for faster access to the best deals. Click here if you don't have an account.

ACID REFLUX ( KIUNGULIA )NI NINI DALILI MADHARA NA TIBA YAKE

Sep 16th, 2025 at 07:44   Beauty & Well being   Arusha City   191 views Reference: 622

Location: Arusha City

Price: TSh25,000 Negotiable


ACID REFLUX (KIUNGULIA) NI NINI?

 

Ni hali ambapo asidi ya tumbo inapanda juu hadi kwenye umio (esophagus). Hii husababisha maumivu ya kifua (yanayofanana na ya moyo), hisia ya kuchoma tumboni au koo, na ladha chungu mdomoni.

 

️ DALILI ZA ACID REFLUX

 

Hisia ya kuungua au kuchoma kifuani (hasa baada ya kula)

 

Kugugumia chakula au asidi kurudi mdomoni

 

Kukohoa bila sababu ya mafua

 

Kuhisi chungu kooni au mdomoni

 

Kupumua kwa shida usiku (kama asidi inafika juu)

 

SABABU KUU

 

Kula kupita kiasi

 

Kula vyakula vyenye mafuta mengi, viungo kali, au vyakula vyenye asidi (kama nyanya, limao)

 

Uzito kupita kiasi (obesity)

 

Uvutaji sigara

 

Kulala mara baada ya kula chakula

 

Magonjwa ya tumbo, au kupungua kwa valve ya umio

 

TIBA ZA ASILI / MBOBADALA

 

Hizi ni njia salama kusaidia kupunguza kiungulia:

 

1. Maziwa ya mgando au mtindi – kupoza asidi

 

2. Ndizi – hulainisha tumbo

 

3. Asali na maji ya uvuguvugu – husaidia kutuliza njia ya umio

 

4. Tangawizi (ginger) – hupunguza gesi na maumivu ya tumbo

 

5. Kula chakula kidogo kidogo mara nyingi badala ya milo mikubwa

 

6. Epuka kulala mara baada ya kula – subiri angalau masaa 2-3

 

VYAKULA VYA KUEPUKA

 

1. Vyakula vya kukaanga na vyenye mafuta mengi

 

2. Chokoleti

 

3. Kahawa

 

4. Soda na pombe

 

5. Chumvi nyingi

6. Vyakula vilivyolala

7. Vyakula vyenye acid viliwe kwa kiasi kidogo sana kama maharage , dagaa, limao nk

8. Epuka vitu vichachu pia

 

TIBA ZA KISAYANSI

 

Dawa za kupunguza asidi (antacids, PPIs)

 

Uchunguzi wa endoscopy (ikiwa hali ni ya muda mrefu au kali)

 

UNAHITAJI TIBA ASILIA NA USHAURI?

 

Neema Afya Bora inatoa tiba ya mimea isiyo na madhara kwa kiungulia na matatizo ya tumbo:

 

Piga sasa: