UJUE UGONJWA WA OVARIAN CYST NA TIBA BILA UPASUAJI
Aug 24th, 2025 at 07:46 Beauty & Well being Arusha City 198 views Reference: 587Location: Arusha City
Price: TSh285,000 Negotiable
**JE, UNAPITIA CHANGAMOTO YA UVIMBE MAJI (OVARIAN CYST)?**
**Tuna suluhisho salama bila upasuaji!**
Ovari ni viungo muhimu vya uzazi kwa mwanamke. Huzalisha mayai na homoni za kike kama **estrojeni** na **progesterone**, ambazo hudhibiti mzunguko wa hedhi na ujauzito. Lakini wakati mwingine, ovari huweza kuathirika na uvimbe maji unaojulikana kama **Ovarian Cyst**.
**DALILI ZAKE NI:**
- Maumivu wakati wa hedhi au tendo la ndoa
- Tumbo kujaa au kuvimba
- Kichefuchefu
- Damu isiyo ya kawaida wakati wa hedhi
- Kushindwa kumaliza kutoa mkojo
- Maumivu ya tumbo, nyonga au mapaja
**SABABU ZAKE NI PAMOJA NA:**
- Kuwa mjamzito
- Kuvuta sigara au unywaji pombe
- Kuvurugika kwa homoni
- Umri mkubwa
- Ugonjwa wa Endometriosis
**AINA ZA VIMBE MAJI:**
1. **Functional Cyst:** Hutokea kawaida na mara nyingi haitoi dalili.
2. **Follicular Cyst:** Yai linaposhindwa kutoka wakati wa ovulation.
3. **Corpus Luteum Cyst:** Hujitokeza baada ya yai kutolewa.
4. **Hemorrhagic Cyst:** Uvimbe unaosababishwa na kuvuja damu ndani ya cyst.
**SULUHISHO:**
Tuna bidhaa bora zinazosaidia kutibu chanzo cha tatizo **kulingana na ukubwa na muda wa uvimbe**, bila hitaji la upasuaji.
**Wasiliana nasi kwa ushauri na huduma:**
**Dr. Nicky - 0765 163 943**